TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA

Thursday 3 October 2013

VURUGU KALI ZATOKEA MBAGALA BAADA YA MWANAFUNZI KUFARIKI KWA KUGONGWA NA GARI

 
 
 
Askari kanzu katika jitihada za kuwatawanya waandamanaji.
 

 

 

 
 
 
 

 
Kamanda Engelbert Kiondo (wa pili kulia) akipokea maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Kizuiani, Mashaka Selemani (wa kwanza kushoto).


 
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert Kiondo (wa tatu kulia) akiwa katika eneo la tukio.


 



 


wakazi wakiwa na mabango kuashiria kutaka matuta baada ya kutokea kwa ajali iliyosababishwa kifo cha mwanafunzi wa shule kufariki leo






polisi wa usalama akiwatuliza wananchi walioshikwa na Hasira mbagala leo








baadhi ya wakazi awakiwa wameweka mawe kuzuiia magari yasipite baada ya mwanafunzi kugongwa na kufariki leo mbagala




 
 
 
 


 
 
 

 


 






 








































































 

 

 





 


 



 

 

 
 


No comments:

Post a Comment