Kuna wakati NYAYO za miguu HUWA kavuu.Unaweza kufanya yafuatayo ili kuondokana na hali hiyo.Kwa kawaida ngozi ya kwenye nyayo huwa ni kavu ukilinganisha na ngozi ya maeneo mengine mwilini.
Vitu vinavyosababisha ukavu mpaka kupasuka nyayo ni
1.Kutembea sana peku
2.ukali wa jua na miguu unaikanyaga chini
3.Kuogea sabuni ambazo hazina moinsture
4.tatizo la kisukari na thyroid
5.kuogea maji ya moto kupitiliza kila siku
6.matatizo ya ngozi eczema ambayo hupelekea ngozi kuwa kavuu
Unatibu vipi ukavu wa nyayo?kuna watu ambao tayari wana asili ya ngozi kavu hivyo ni lazima wafanye kazi ya ziada kulainisha miguu.
1.Ukimaliza kuoga tu unahakikisha unapaka nyayo zako mafuta au lotion zenye moinsture.Usipake lotion zenye kemikali au alcohol huzidisha ukavu wa miguu.Paka hata mafuta ya watoto ambayo hayana kabisa kemikali.
2.Pia unaweza kuloweka miguu yako kwenye maji yenye juice ya limao,juice ya limao husaidia kuondoa zile dead skin
3.Paka miguu yako mchanganyiko wa kijiko kimoja cha olive oil na matone kadhaa ya limao.Changanya vyema kisha paka kwenye nyayo ili kuipa moinstrure yaani unyevu unyevu.
4.Unaweza kutengeneza scrub yenye mchanganyiko wa unga wa mchele,olive oil,veniger na asali.Unazifanyia scrub nyayo zako na huo mchanganyiko.
5.Ukishasafisha na kufuta miguu yako paka vegetable oil...mafuta kama hayo ya olive na mafuta natural kabisa ya nazi.
Haya ni mafuta ya nazi natengeneza MIMI mwenyewe kiasili kabisaa yatakufaa kwa miguu na nyayo zilizo kavu.Ukivutiwa na wewe huwezi kutengeneza mwenyewe tuwasiliane.Tayari nimewauzia wengi tu kwa ajili ya kupaka watoto wao na hata watu wazima wanaopenda mafuta ya nazi.
Ukiyapaka kabla hujaenda kulala vaa socks ndio ulale.Fanya hivi kila siku.
6.Kabla ya kulala Chukua mafuta ya vaseline ujazo wa kijiko kidogo cha chai na kamulia limao zima kisha koroga vyema huo mchanganyiko kisha paka kwenye nyayo zako.Fanya hivi ukiwa umenawa miguu na umeifuta vizuri imekauka ndio unapaka.Vaa socks zako ndio upande kitandani kulala.
tangaza hapa

TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA
Showing posts with label Urembo. Show all posts
Showing posts with label Urembo. Show all posts
Wednesday, 12 November 2014
Sunday, 1 December 2013
MSHINDI WA MISS TANZANIA USA PAGEANT NI JOY KALEMERA
Mlimbwende Joy Kalemera akipungia mashabiki baada ya kushinda mashindano ya Miss Tanzania USA Pageant yaliyofanyika usiku wa Jumamosi Novemba 30, 2013 kwenye ukumbi wa Hollywood Ballroom uliopo Silver Spring , Maryland na Mhe. Balozi Liberata Mulamula ndiye aliyekua mgeni rasmi. Joy Kalemera alipohojiwa na Vijimambo alikua na haya ya kusema.
Mshindi wa Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalamera akipewa maua na aliyekua Miss District of Columbia baada ya kutangazwa mshindi kwenye Miss Tanzania USA Pageant ambapo mashindano haya ya kumtafuta Miss Tanzania USA Pageant ndiyo ya kwanza kufanyika kwenye ardhi ya Marekani.
Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera akiwa mwenye furaha baada ya kutangazwa mshinidi wa Miss Tanzania USA Pageant.
Balozi wa Tnzania nchini Marekani na Mexico akimvisha taji Joy Kalemera baada ya kutangazwa mshindi wa Miss Tanzania Pageant
Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa mwenye furaha baada ya shindano hili kufana sana na kuandika historia iliyobeba ukurasa mpya wa kutangaza Tanzania kwenye mashindano haya ya Miss Afrika USA Pageant ambayo Tanzania ilikua na mshiriki wa kwanza mwaka huu ambae ushiriki wake haukupitia ngazi hii.
Joy Kalemera akipongezwa na washiriki wenzake waliokua nae kwenye kinyang'anyiro hiki kilichoanzia miezi miwili iliyopita.
Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa kwenye picha ya pamoja na mshindi wa kwanza katika historia ya Miss Tanzania USA Pageant Joy Kalemera kulia ni Mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey.
Joy Kalemera katika picha ya pamoja na majaji pamoja na mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Africa USA Pageant, Lady Kate (kulia)
Kutoka kushoto ni Faith Kashaa kutoka Alabama ambaye ndiye mshindi wa tatu, Doreen Rumaya kutoka Pennsylvania mshindi wa pili, Joy Kalemera kutoka New Jersey Miss Tanzania USA Pageant, Julia Nyerere mshindi wa Tano na Namala Elias mshindi wa nne wakiwa kwenye picha ya pamoja
Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja na washiriki wenzake.
Thursday, 24 October 2013
This are Fruits to Eat and Lose Weight?

Throughout reducing weight there are particular types of fruits which excel in slimming down thanks to their content. Fruits are not merely plentiful in fiber however even have low calories content, this makes them the very best food digestion aid as well as great in maintaining form and also weight.
Nevertheless, not necessarily all fruits are good for your overall health. Just whole fruits are really good, shy away from tinned fruits due to their large syrup and also calories composition. Stay away from dehydrated fruits also because they lack water and also possess very high energy content per unit weight.
Fruits are a good resource of vitality and nutrients, diets comprising of fruits not just offer the needed vitamins and mineral for the physique however even hydrate the body as a result of their water substance.
Perks of fruits
- Improve blood flowing
- Enhance your immune system
- Improve digestion process allowing your body take advantage of most of the food composition that you take in
- Rejuvenate and regenerate your skin enabling it to shine
- Good for your hair follicules
- Provide the total health of your body
A diet plan composed of fruits is a good detoxing process for your body and if people are looking for a safe and efficient lose weight answer have fruit abundant diet plans because they are natural as a result will definitely not impact your body whatsoever and will even aid you lose weight fast.
Make Your Breasts Bigger Naturally? Women beauty tip

How Make Your Breasts Bigger Naturally? Women beauty tip – There are many ways that you can do to make your breasts bigger without having to undergo a surgery or other expensive procedure. Listed below are some of the most effective natural methods to help you increase your breast size in a healthy way and without spending a dime.
Tip #1: Eat fresh fruits and vegetables Nothing is more natural and healthier than eating fresh fruits and vegetables. A nice fruit or vegetable salad will help you gain the right amount of healthy fat to improve the size of your breasts. Some fruits and vegetables that will improve your breast size include avocado, dill, black olives, strawberries, and blueberries.
Wednesday, 23 October 2013
STOMACH EXERCISES FOR WOMEN AT HOME- losing weight

To begin with, if you desire washboard abs, you need to make a routine of cardiovascular exercises. You can choose from running, walking, aerobics, swimming, etc. Cardiovascular exercises, in combination with a balanced diet, will help you to trim down from all places, including your stomach. Along with the cardiovascular exercises, certain effective abdominal exercises should be undertaken regularly, as they help in stretching and tightening the stomach muscles. Given below is a list of some of them.For the best stomach exercises for women at home – As many women have experienced, a flat stomach is not easy to get by. It requires a lot of effort, patience and changes in one’s diet to get rid of the stubborn belly fat. Spot reduction i.e. losing fat from only one body part is a myth. That’s why, in order to lose belly fat, one has to lose fats from all over the body.
Best stomach exercises for women at home
Leg Lifts
Leg lifts are an excellent exercise for strengthening the muscles of the lower abdomen. To do this exercise, lie down on an exercise mat on your back. Keep both your hands below your hips as if to support them. Next, keeping your legs straight and without bending your knees, raise your legs. Initially, raise as much as you can comfortably. Later on when you get used to this exercise, your legs should be perpendicular to the ground. Now, bring the legs back towards the floor, stopping just a few inches above it. Aim for three sets of 12 repetitions each.
Crunches
Crunches are arguably one of the best exercises for women. To perform crunches, lie down on your back on the exercise mat. Bend and lift your knees and keep the feet flat on the mat. Your hands should be crossed behind the head and you should look upwards towards the ceiling. Next, raise your upper body towards the knees and go as far as you can comfortably. Come back to the ground. Aim for three sets of 12 repetitions each.
Reverse Crunches
Another useful stomach exercise to do at home is the reverse crunch. To do this exercise, lie down on your back on an exercise mat. Now, bend and raise your knees in such a way that the thighs are at ninety degree angle with the upper body. Next, cross your feet against each other and lift your lower legs, stretching them towards the ceiling and lifting your hips, slightly off the floor. Make sure that when you do this exercise, your knees, thighs and upper body should not move at all. Do three sets of reverse crunches with 12 repetitions each.
Air Cycling
To do this exercise lie down on your back. Bend the knees and bring them close to the chest. Keep your hands behind the head for support. Next, start air cycling by extending your left leg straight, simultaneously lifting your upper body and twisting it in the opposite direction i.e. when your left leg is extended, your left elbow should be near your right knee. You should aim for three sets of this exercise with 12-15 repetitions.
Cross Crunches
To perform crunches, lie down on your back. Raise your knees and keep the feet flat on the ground, a bit away from the hips. Next, keep your left ankle on your right knee. Keep your hands behind the head for support and raise your upper body, twisting it in such a way that you are able to touch your left knee with your right elbow. Repeat this exercise 12 times and then do the same on the other side.
Vertical Crunches
To do this exercise, lie down on your back. Keep your hands crossed behind the head. Now, crossing your feet at the ankles, lift your legs up towards the ceiling. Next, raise your upper body by applying pressure on your abs so that your forehead can touch the knees. Hold on in this position for about ten seconds and then come back to the original position. Repeat this exercise 12-15 times.
These Best stomach exercises for women at home should be ideally performed every alternate day. When combined with a proper abs diet, they are sure to give you a flat tummy in due course of time.
Saturday, 12 October 2013
Friday, 11 October 2013
PUNGUZA UNENE KWA KUTUMIA ASALI NA LIMAU/NDIMU
Asali na limau
Diet ya asali na Limau diet inasaidia kupunguza tatizo la uzito mkubwa/unene . Obesity ni hali ya mwili unapokuwa unamafuta mengi kupindukia na mafuta hujitokeza katika tishu za mwili, kwenye moyo, mafigo, ini na viungo kama vile nyonga, magoti na vifundoni na hivyo, watu wenye uzito mkubwa pia ni rahisi kukabiliwa na magonjwa kadhaa kama kisukari, shinikizo la damu, arthritis, ini na nyongo ya kibofu cha mkojo kupata matatizo.
Asali ni njia nzuri ya asili ambayo unaweza kutumia kwa ajili ya Obesity na kupunguza kwa viwango vya cholesterol mwilini.
Kufunga/Fasting kwa asali na lemon-juisi, chakula alkali, ina manufaa katika matibabu ya Obesity bila kupata hamu ya kula.
Kwa ajili ya tiba hii ya asili, changanya kijiko moja ya asali mbichi (unheated) na vijiko viwili vya maji ya limau au ndimu katika glasi ya joto au maji vuguvugu (si kuchemsha maji!).
Kunywa mchanganyiko huu wa asali na limau/ndimu kila unapoamka asubuhi tumbo likiwa tupu. Pia unatakiwa kunywa mchanganyiko huu mara baada ya mlo kubwa na vyakula vya mafuta, hii inarahisisha kwenye digestion .
Ukiendelea na tiba asili ya kupunguza uzito unatakiwa kuzingatia kanuni kama vile kutengeneza tabia katoka milo unayokula pia kujenga tabia ya kufanya mazoezi ya mwili mara kwa mara.
Wednesday, 9 October 2013
MWANAMKE SHEPU! KUMBE NAMBA 8 INATENGENEZWA!!AMA KWELI MWANAMKE SHEPU BABUU WEE!!
Inaitwa butt booster kazi yake ni kuongeza palipopungua |
Kazi yake hii ni kurudisha tumbo ndani na kutengeneza shepu inayotakiwa! |
Muonekano kwa mbele sehemu ya juu inahusika na kurudisha tumbo!! |
Hii ni aina nyingine ya kurudisha tumbo ila hii ni ndefu inafika mpaka kwenye boob!! |
Inatengeneza kiuno kinakuwa kama Dondola,cheki hapo juu!!Angalizo hii unavaa kwa muda flano baada ya kipindi mwili unajitune wenyewe!!! |
Aya Sasa hii ndo inashape namba 8,kiaje Njoo chemba tukupe shule!! |
Coset kazi yake ni kubana tumbo,hapa ni kwa mbele una-wamba kadri ya size ya tumbo lako,zipo s,m,l & xl |
Coset kwa nyuma!! BY AK CLASSIC |
Tuesday, 8 October 2013
HUU NI MLO WA ASUBUHI KWA ANAYEPUNGUZA UZITO
powered by
|
Wiki moja iliyopita nilisema ntakuwa nashare namna mbalimbali ya kuandaa ratiba ya mlo wa asubuhi,mchana na usiku.Tulianza na mlo wa asubuhi na nikapata maoni ya wale wanaotaka kupunguza uzito je wanaweza kuwa na ratiba ipi?Ifuatayo ni ratiba ya mlo wa asubuhi kwa mtu anaetaka kupunguza mwili/uzito.
JUMATATU
Mkate wa brauni slesi 1 +siagi ya karanga
Yai 1 la kuchemsha
Kinywaji cha soya
Chungwa 1
JUMANNE
Mhogo/kiazi/gimbi kipande 1
Kachumbari-nyanya na kitunguu na tango
Maziwa kikombe 1
Papai
JUMATANO
Sandwich (mkate brauni slesi 2,yai la kukaanga moja,nyanya kitunguu,hoho,tango)
Chai ya maziwa yenye viungo
Tikiti maji
ALHAMISI
Chapati 1 ya unga wa atta (roti-iliyochomwa bila mafuta)
Sausage 1
Kinywaji cha Soya
Parachichi
IJUMAA
Uji wa dona na maziwa/oats na maziwa/all bran na maziwa(kula kimojawapo)
Tikitimaji
JUMAMOSI
Supu ya kuku/samaki/nyama
Chapati 1 ya unga wa atta (roti-iliyochomwa bila mafuta)
Saladi ya matunda
JUMAPILI
Skonzi za atta +cheese/asali/siagi ya karanga
Salad ya mboga mboga(nyanya,tango,kitunguu)
Maziwa kikombe 1
Nanasi
NOTE
· Maziwa yatakayotumika yawe yaliyoenguliwa mafuta yaani skimmed milk,unaweza chemsha na kuondoa mafuta yatakayobaki juu au ukatumia maziwa ya Cowbell.
· Matunda na mboga mboga zitumike za kwenye msimu, mboga na matunda yanayoshauriwa zaidi kwa kupunguza uzito ni spinach, sukuma wiki, lettuce,tango,nyanya,zabibu,chungwa,limao,parachichi,papai,apple,tikitimaji,cauliflower,broccoli,bilinganya,nyanyachungu,bamia,uyoga,zukini na maharage mabichi.
· Tumia unga wa nafaka zisizokobolewa, dona-inga wa mahindi mazima, atta-unga wa ngazo isiyokobolewa
· Roti jina la aina ya chapatti ya Kihindi inayochomwa kwenye kikaango bila mafuta.
· Usile mayai kila siku, yana lehemu, mayai matatu kwa wiki yanatosha.
BY DINA MARIOS
Subscribe to:
Posts (Atom)