TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA

Friday 4 October 2013

JIACHIE NA NEW STYLE" YACHUMA CHUMA" NA WANA SKYLIGHT BAND( THAI VILLAGE – MASAKI)


 

IMG_7645
Aneth Kushaba AK47 na Mary Lucos wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village Masaki.
IMG_7663
Mashabiki wa Skylight Band wakionekana kukunwa na burudani ya Band hiyo.
IMG_7668
Sam Mapenzi akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
IMG_7664
Sam Mapenzi akimpagawisha shabiki wake.
IMG_7669
Hapo sasa twende kazi wewe ni balaaaa….
IMG_7641
Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani.
IMG_7650
Sony Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo naye hakubaki nyuma huku akipewa sapoti na Digna pamoja na Mary Lucos.
IMG_7682
Shabiki wa Skylight Band aliyeshindwa kujizuia na kuamua kuvua shati na kupanda jukwaani kulisakata Sebene na waimbaji wa Skylight Band.
IMG_7684
Wewe usipime burudani Mwanzo mwisho na mashabiki wa ukweli ndani ya Thai Village huku Joniko Flower akiwasebenesha wadau.
IMG_7696
Yachuma chuma….mi nataka mukanda Yachuma chuma……mashabiki wa Skylight Band wakicheza Style mpya ya Skylight Band. Njoo wewe na yule ucheze leo usiku pale Thai Village.
IMG_7713
Mbali na yote kama kawaida mduara ulichezeka huku Mary Lucos na Joniko Flower wakiongoza burudani hiyo.
IMG_7715
IMG_7705
Mdau Maurus na best yake walibambwa na camera yetu wakijinioma Kuku choma inayopatikana pale Thai Village ni balaa.
IMG_7709
Aneth Kushaba AK 47 na Mdau Maurus wakishow love.
IMG_7710
Ben Kinyaiya naye ndani ya nyumba, akishow love na Aneth Kushaba AK 47 aliyeamua kupunguza njaa baada ya kutikisika sana Jukwaani.
IMG_7721
Lubeya wa Skylight Band akishow love na msanii Barnaba aliyeambatana na marafiki zake.
IMG_7718
Wadau wakipata Ukodak.
IMG_7728
Hapa ngumi jiwe tu sogea uoneee….Wadau wakishow love.
IMG_7733
Mdau kwenye ofisi kubwa hapa mujini akishow love na Blogger King Kif.
IMG_7625
Mpiga solo wa Skylight Band Allen Kisso, Digna na MaryLucos wakipooza koo Back stage.
IMG_7739
Na Ijumaa yetu ya wiki iliyopita iliishia hapo kwa kupata hewa safi baada ya kusebeneka na Skylight Band tukutane leo tena kiwanja kile kile.
(Picha na Zainul Mzige)

POWERD BY sundayshomari.com

No comments:

Post a Comment