Vicky Mwakoyo ambaye ni Creative Meneja wa kampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha,katikati ni Yacob Simba na Godfrey Thomas wakiwa wanajadili jambo

Kulia ni Lucy Bongole ambaye ni mwanasalamu wakiwa wanajadiliana na wenzake katika viwanja vya hospitali ya Mt.Meru katikati ni Zuhura Mbise maarufu kwa jina la mama Sosy,kushoto ni Sister Monduly
Nesi wa hospitali ya Mt.Meru Sista Merry Stella akitoa neno la shukrani kwa wanasalamu waliofika kuwatembela wagonjwa hospitalini hapo ambapo amewataka watu na mashirika mbalimbali kuiga mfano huo kwa kuwa mahitaji ya wagonjwa ni makubwa
"Pole mama Mungu atakuponya"hayo ni maneno ya wanasalamu
Wanasalamu kutoka mikoa mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja katika viwanja vya hospitali ya Mt.Meru mara baada ya kufanya ziara ya kuwatembelea wagonjwa (Habari Picha na Pamela wa Jamiiblog)
No comments:
Post a Comment