TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA

Sunday 15 December 2013

MAZISHI YA NELSON MANDELA YAFANYIKA LEO KIJIJINI QUNU.

Jeneza lenye mwili wa Mandela likiwa makaburini.
Jeneza lenye mwili wa Hayati Nelson Mandela likipelekwa makaburini tayari kwa maziko.
Oprah Winfrey naye ni miongoni mwa waombolezaji. Hapa akielekea eneo la makaburi.
Askofu Desmond Mpilo Tutu ambaye alikuwa rafiki wa karibu wa marehemu Mandela naye akielekea eneo la makaburi.
Jeneza baada ya kuwasili eneo la makaburi. Hapa likifunguliwa kutoka kwenye gari maalum.

No comments:

Post a Comment