Pages
Home
Ukurasa wa Vijana
Maisha
Ushauri
Picha
Mimi na Wewe
Burudani
Urembo
Wasiliana nasi
tangaza hapa
TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA
Saturday, 18 October 2014
KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI TIGO YAWAWEZESHA WAENDESHA BODABODA JIJINI MWANZA
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza juzi wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo na mpango wa tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi na kulipia kupitia Tigo Pesa.
Mkurugenzi wa Tigo kanda ya ziwa Ally Maswanya akizungumza na waendesha bodaboda mkoani Mwanza,juzi, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo madereva wa Bodaboda na mpango wa tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia kupitia Tigo Pesa. Kushoto ni Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa Mwanza (RTO) Nuru Selemani
Madereva wa bodaboda wakitoka kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tigo jijini Mwanza juzi na kujisajili kwenye mpango wa tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia kupitia Tigo Pesa.
Madereva wa bodaboda wakitoka kwenye mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoandaliwa na Tigo jijini Mwanza juzi na kujisajili kwenye mpango wa tigo kuwapa lita moja ya mafuta bure waongezapo lita tatu au zaidi kulipia kupitia Tigo Pesa.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment