TAFUTA CHOCHOTE NDANI YA NKEMA

Thursday 24 October 2013

DAWATI NI ELIMU; MEYA SLAA ANADI KWENYE MKUTANO WA ELIMU BEIJING

Picture
Mstakihi Meya wa Manispaa ya Ilala, Ndugu Jerry Silaa hivi karibuni alipata fursa ya kuhudhuria mkutano wa Beijing International Conference on Learning Cities ambapo alipata nafasi ya kuzungumzia kampeni yake ya Mayor’s Ball ‘Dawati ni 
Elimu’ kama mmoja wa watoa wa mada kwenye mkutano huo ulioratibiwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na utamaduni (UNESCO).

Meya wa Manispaa ya Ilala, Ndugu Jerry Silaa akizungumzia kampeni yake ya Mayor’s Ball ‘Dawati ni Elimu katika mkutano wa kimataifa wa Beijing International Conference on Learning Cities ambapo alikuwa mmoja wa watoa mada.


Kutoka kushoto Mwezeshaji Mr Ahlin Jean-Marie, Meya Jerry Silaa, DRC Congo Waziri wa Elimu Mh, Therese Olenga Kalond, Meya Comlan Lome, Togo na Kamishina wa Elimu Farouk Iya Sambo Kano State Nigeria. Jukwaani Meya Haskins Nkaigwa Gaborone, Bostwana.

No comments:

Post a Comment